| Hapa ndipo palikuwa nyumbani kwetu Tandale nilipozaliwa kulelewa na
kujifunzia Muziki hadi leo kufikia hapa…. napaHeshimu, Napapenda,
napathamini na Daima hata niende wapi lazima nirudi maana nikiwa hapa
nasikia faraja na amani ya moyo… Mwanzo palikuwa hivi #HomeSweetHome
#Before |
No comments:
Post a Comment