Kwa mujibu wa bosi wa WCB, Diamond wimbo wa Harmonize unaofuta, ameshirikisha staa kutoka Mavin Records, Korede Bello wa Nigeria.
Diamond ameandika: Natamani Mngepata walau sekunde 3 tu kuskiliza Ngoma Mpya ya @Harmonize_tz alomshirikisha Mr Romantic, wenyewe wanamwita GODWIN @koredebello tokea the Marvins Nigeria…. Moja ya ngoma zinazotawala kwenye Repeat ya playlist yangu kwa sasa…. #BongoflavourTotheWorld.” Korede Bello amehit sana kwa ngoma yake Romantic aliyomshirikisha Tiwa Savage.


No comments:
Post a Comment