Ex wa Tyga Kylie Jenner kapata mpenzi mpya,ni msanii wa Drake.
Kylie Jenner ambaye ni Ex rapa Tyga ameanza kuhusishwa kimapenzi na baadhi ya rapa wakali baada ya kuachana na mpenzi wake wa mwaka mmoja.
Kylie awali alihusishwa kutoka na Ty Dola Sign ila kwa sasa ametajwa kutoka na rapa ambaye pia ni
‘bad boy’ anayefahamika kama
Jahron Brathwaite, aka
PartyNextDoor.
Inasemekama
Kylie anapenda wanaume kama anaowapenda dada yake
Kim Kardashian, ambaye ameolewa na
Kanye West.
Kijana huyu
PartyNextDoor anatoka Canada, ana miaka 22, amemzidi Kylie miaka minne tu na ni msanii wa
Drake kupitia lebel yake ya
OVO.
No comments:
Post a Comment