Wednesday, 18 May 2016

LADY JAYDEE KUMSONGESHA GADNER MAHAKAMANI KWA KUMDHALILISHA HADHARANI.

Lady Jaydee
Msanii Lady Jaydee amefikia uamuzi wa kumshitaki aliyewahi kuwa mumewe Mtangazaji Gadner G Habash wa CLOUDS MEDIA baada ya kutoa maneno ya udhalilishaji juu yake hadharani
Gadner alitoa kauli hiyo iliyoonyesha kuhudhi wengi akiwemo Naibu Waziri wa Afya Dr,Khamis Kigwangala aliyemtaka Gadner na uongozi mzima wa CLOUDS MEDIA kumuomba radhi Jaydee,japo ushauri wake haukufanyiwa kazi.


Kupitia HATI ya kumtaka kuomba msamaha mbele ya UMMA tuliyoipata GADNER anatakiwa kuomba radhi mbele ya hadhara kama alivyofanya wakati akitoa maneno hayo mbele ya UMMA wa Watanzania waliohudhuria BONANZA lililofanyika kwenye viwanja vya TCC Chang'ombe.......
Gadner G Habash

No comments: