Pale kituo maarufu cha TV cha burudani nchini Nigeria kinapoamua kutenga siku maalum kwaajili ya Alikiba, ni dalili kuwa muimbaji huyo wa Aje amekinukisha mbayaa.
Soundcity imeanzisha #AlikibaDay kwa heshima ya Alikiba ambapo neno hilo linaonekana kwenye screen ya TV kwa siku nzima.
No comments:
Post a Comment