Monday, 20 June 2016

THE POOL OF SILOAM CHURCH WAFANYA IBADA MAALUM KUIOMBEA AMANI TANZANIA..

Wakili wa Mungu na kiongozi wa Kanisa la The Pool of Siloam Church, Elisha Eliya [Mzeituni wa II]akiendesha Ibada maalum ya kuuombea amani mkoa wa Dar es Salaam na Tanzania kwa jumla wakati wa Ibada iliyofanyika leo, katika Kanisa hilo, Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam.













No comments: