Thursday, 5 April 2018

Heche afikishwa Kisutu, kuna harufu ya kuunganishwa kwenye kesi viongozi wenzake wa CHADEMA


Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche(CHADEMA) amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kistu na kwasasa amewekwa mahabusu ndogo huku akisubiri kusomewa mashtaka yanayomkabili
> Kuna tetesi kuwa anaweza kuunganishwa kwenye kesi inayowakabili viongozi wengine 7 wa CHADEMA akiwemo Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa)
Mbunge Heche alikamatwa tarehe tatu na kunyimwa dhamana.

No comments: