![]() |
Wananchi wa Kijiji cha Mindukene,Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze wakimsikiliza kwa makini Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete. |
![]() |
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akilakiwa na wanakijiji wa Kijiji cha Msigi Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze |
![]() |
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akisikiliza kwa Makini hotuba ya Mwenyekiti wa Kijiji hicho,Mzee Juma Mwinyigoha (hayupo pichani). |
![]() |
Ukafika wakati wa Chakula cha Mchana na wakaingia kwenye kibanda ya Mama ntilie ndani ya Kijiji cha Msigi na kuanza kupata msosi. |
![]() |
Mgombea akitoka kwa Mama Ntilie baada ya kupata msosi. |
![]() |
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Msigi,Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze |
![]() |
Wazee wakifurahi jambo wakati wa Hotuba ya Mgombea wao. |
![]() |
Meneja wa Kampeni za CCM Jimbo la Chalinze,Steven Kazidi |
![]() |
Burudani ya Ngoma za Asili. |
![]() |
MwanaCCM akifatilia Mkutano kwa umakini. |
No comments:
Post a Comment