Taarifa
kamili juu ya kifo cha gwiji la sanaa na Director mkongwe wa filamu nchini marehemu Adamu Philip
kuambiana, ni kwamba kifo hicho Kimetokea wakati marehemu akiwa njiani kupelekwa katika hosptali ya
mama ngoma iliyopo mwenge jijini daresalam kutokea katika hoteli ya
Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy alipokuwa ameweka kambi ya
maandalizi ya filamu yake mpya ambapo marehemu alidondoka chooni mara baada ya kuzidiwa
kwa kile kilichoelezwa kuwa ni maradhi ya tumbo .
Awali marehemu alikuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo na sukari{Diabetis}maradhi ambayo yalikuwa yakimfanya wakati mwingine kusimama kazi kutokana na maumivu makali.
kwasasa mwili wa marehemu umehamishiwa mochwari{Muhimbili Medical Hosp} kwaajili ya kuuhifadhiwa,
Awali marehemu alikuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo na sukari{Diabetis}maradhi ambayo yalikuwa yakimfanya wakati mwingine kusimama kazi kutokana na maumivu makali.
kwasasa mwili wa marehemu umehamishiwa mochwari{Muhimbili Medical Hosp} kwaajili ya kuuhifadhiwa,
![]() |
Mwili wa marehemu ukipelekwa Mochwari Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa. |
No comments:
Post a Comment