Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwa Mh,Mbunge-Mbeya Mjini{Chadema}JOSEPH.D.MBILINYI {miaka kapuni},fuatilia picha za surprise ya aina yake aliyofanyiwa Mh,J.D.MBILINYI almaarufu SUGU na mzazi mwenzie FAIZA ALLY katika kumbukumbu hii muhimu maishani mwao,
![]() |
| Mh,SUGU mbele ya surprise ya KEKI kuuubwa ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwake. |
![]() |
| Mh,J.D.MBILINYI akisaidiwa kukata KEKI na Mzazi mwenzie FAIZA ALLY. |
![]() |
| Mh,J.M.MBILINYI a.k.a SUGU akiongea kitu na mtoto wake SASHA. |








No comments:
Post a Comment