Monday, 19 May 2014

VIDEO:-KIFO CHA MAREHEMU ADAM KUAMBIANA"MAMA NGOMA HOSP-{MWENGE}->MOCHUARI{MUHIMBILI MEDICAL HOSPITAL}

MUIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo,Marehemu Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya kuamkia Jumamosi. Marehemu alianguka chooni akiwa location katika Gesti ya Silver
Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam. Kabla ya umauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo.huku taarifa kutoka kwa watu waliompa huduma ya kumkimbiza hospitali walidai alikuwa akiharisha damu.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!
 
HII HAPA NI VIDEO INAYOONYESHA SAFARI YA KUUPELEKA MWILI WA MAREHEMU MOCHUARI{MUHIMBILI MEDICAL HOSPITAL}TOKEA HOSPITALI YA MAMA NGOMA-MWENGE JIJINI DAR ES SALAAM,
 

No comments: