Katika hali ya kushangaza bila kutarajia kumetokea Ugomvi mkubwa mchana
huu katika studio za Clouds Fm ya jijini Dar es salaam, ambapo sauti zilizonaswa zinasikika Dj Fety akibishana na B12
kuhusu kulaunch kitu fulani hewani sasa hapo ndipo mbinde ilipoanzia,
hii imetokea muda wa mchana huu kwenye kipindi cha xxl.. sikiliza hapa
SOURCE-Rothbeatz909{Twitter}

No comments:
Post a Comment