Thursday, 11 June 2015

Linah aangukia kwenye penzi la msanii mkubwa Nigeria


Atimaye Mwimbaji wa kike nchini Linah Sanga amefunguka na kuweka bayana kuwa yuko mbioni kumtambulisha mpenzi wake kwa mashabiki.

Linah aliyasema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, “nampenda mpenzi na siku ikifika, nitaamua kumweka wazi ili mashabiki wamtambue.
“Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwa sana, yaani huyo nampenda na hii sio project ipo real, mtamuona tu bado wakati, hizi ni dondoo, wa Nigeria,” alisema Linah.
Sijui ni lini? ila tunasubiri huo wakati. @officiallinah

No comments: