![]() |
| Mganga wa Jadi Bw,Wadebi Jinasa. |
Ama kweli uswazi hakuishi vijimambo! Mganga wa jadi almaarufu sangoma aliyetajwa kwa jina la Wadebi Jinasa amepata aibu ya karne baada ya kunaswa ‘live’ na wake za watu kwenye gesti moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Tandika jijini Dar es Salaam
Tukio
hilo la aina yake lilijiri maeneo hayo, usiku wa manane wa kuamkia
Jumanne iliyopita, wakati waumini wa Dini ya Kiislamu waliofunga kwa
ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakila daku.Kwa mujibu wa mashuhuda,
jamaa huyo alidaiwa kuwa alikuwa akiwafanyia wake hao wa watu dawa ya
mapenzi kwa kuwavua nguo zote kisha ‘kuwachezea’.
Sangoma huyu amekuwa akiwavuta wanawake wengi kwa kuwatajia matatizo yao sawia bila kukosea....


No comments:
Post a Comment