Wednesday, 23 July 2014

MUHIMBILI WAKIRI KUPOKEA VIFURUSHI VYA VIUNGO VYA BINADAM VILIVYOKAMATWA JUZI JIJINI DAR ES SALAAM.

Ameniel Eligaeshi
UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili umethibitisha kupokea viungo vya binadamu vilivyotupwa na kugunduliwa na Wananchi eneo la bunju nje kidogo ya Jijini la Dar es salaam.
Akizungumza na kituo hiki Mkuu wa kitengo cha uhusiano Ameniel aligaesha

amesema wamepokea viungo hivyo vya binadamu vilivyopelekwa katika hospitali hiyo na maafisa wa Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi.



Aidha amezungumzia hofu iliyojitokeza miongoni mwa baadhi ya wananchi kuhusisha hospitali hiyo na viungo hivyo huku akibainisha wazi kuwa uchunguzi bado unaendelea nao ni miongioni mwa wanaochunguza.

No comments: