MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU ULIOTOKEA LEO JIJINI ARUSHA,KWENYE MGAHAWA WA {TRADITIONAL INDIAN CUISINE},WAKIWA KATIKA WODI YA WATU MAHUTUTI"ICU" KWENYE HOSPITALI YA SELIAN JIJINI HUMO KWA MATIBABU ZAIDI.
Pichani majeruhi wa tukio la mlipuko wa Bomu jijini Arusha Bw,Deepak Gupta aliyejeruhiwa vibaya mguu wake wa kushoto akiwa amekatwa mguu huo kutokana na mguu huo kuharika vibaya. |
No comments:
Post a Comment