Monday, 18 August 2014

PICHA-Mh,RAIS J.M.KIKWETE AMPONGEZA MWANAFUNZI ALIYESHINDA SHINDANO LA KUANDIKA INSHA{SADC}

Mh,Rais J.M.KIKWETE katika Picha ya pamoja na mwanafunzi NEEMA MTWANGA.
Rais Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha 4, Neema Mtwanga mwenye umri wa miaka 16 wa shule ya Sekondari Naboti iliyopo mkoani Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa Insha katika shindano lililoandaliwa na SADC.

kama umefurahishwa na ushindi wa binti huyu, tupia 'HONGERA' yako hapa>>>https://www.facebook.com/Ngessakinollo tumpongeze kwa ushindi alioupata.

No comments: