![]() |
Faiza Ally |
KATIKA POST YAKE ALIYOITUMA MTANDAONI FACEBOOK FAIZA ALLY ALIKUWA NA HAYA YAKUSEMA JUU YA UKWELI JUU HILO,
"
Sasa
leo ngoja nifunguke.... Yaani nikiweka picha zangu kwa raha zangu
mnaanza kusema oh ndio maana SUGU kakimbia ndio maana kaniacha Nasema
hivi MIMI NDIO NIMEMUACHA mkome kunisema nimeachana na nimemuacha tukiwa
kwenye process za ndoa na tulisha kutana na padri na kwenye jumuiya
nilisha anza ..... Kuna vitu vikinifanya niondoke kabla ya ndoa ambavyo
vitabaki kuwa vya kifamilia ....... Nyie mna muona
sugu Kama si mtu wa kawaida mm namuona Kama alie kuwa mpenzi wangu na
Sasa ni baba wa mtoto wangu .... Lkn anajua ubora wangu na faida zangu
Pumbavu zenu yote mnao zani niliachwa tena kwa mavazi anajua na
anapenda mavazi yangu ..... Nachukia kuamka asubuhi na kukuta comments
za kusemwa vibaya.... Nyie mnajua tabia zake ????? Au mnamuona kwa mbali
?????
HIVI NDIVYO ALIVYOFUNGUKA FAIZA ALLY.
No comments:
Post a Comment