Thursday, 27 November 2014

PIGO JINGINE KWA "THE PSQUARE" WAFIWA NA BABA YAO MZAZI.

Mr Okoye.

Mapacha wawili kutoka nchini Nigeria Peter Okoye &Paul Okoye "P- Square" pamoja na kaka yao Jude Okoye,Jumatatu ya Nov 24 walimpoteza mzazi aliyebakia ambaye ni baba yao mzazi hii ni baada ya miaka miwili kupita tangu afariki mama yao mzazi.
P-SQUARE
tovuti ya http://www.naij.com/ imesema kuwa Mr.Okoye alikuwa akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.

No comments: