![]() |
| Kajala & Wolper |
Akizungumzia swala la mwigizaji na rafiki yake Jackline Wolper kuchumbiwa na msanii Manaiki Sanga,Kajala alisema kutokana na ukaribu alionao kwa watu hao basi mambo yote yanayohusiana na sherehe yatakuwa chini yake kwa maana ya gharama zote na kikubwa ni kuwaombea tu maana ni muda mrefu sana Manaiki alikuwa na ndoto za kumuoa Wolper.
Ikumbukwe kuwa hivi karibuni manaiki aliibuka na kutangaza kumposa Wolper. Ngoja tuendelee kusubiri "Movie" hii.

No comments:
Post a Comment