Wednesday, 4 March 2015

AKAMATWA NA POLISI KWA UTAPELI, AJIFANYA YEYE NI RUGE MUTAHABA WA REDIO CLOUDS.

Huyu ndiye kijana aliyekamatwa leo Clouds, kwa kosa la kutapeli watu mbalimbali kwa kutumia majina ya wafanyakazi wa Radio Clouds ya jijini Dar es salaam akiwemo Meneja wa Radio hiyo Bw,Ruge Mutahaba akijifanya yeye ndiye kiongozi wa idara ya muziki ya Clouds fm na kuwatapeli wasanii chipukizi kwa kuomba rushwa ya hela ili nyimbo zao zichezwe redioni hapo.

No comments: