Leo ikiwa ni ile siku ya mitupo ya nyuma yaani ThrowBackThursday
ambapo watu hutupia picha zao za zamani kwenye mtandao wa Instagram,
Staa mrembo Wema Sepetu ametupia picha hiyo akiwa na mastaa warembo
wenzake, Jackline Wolper na Irene Uwoya.
Wema aliweka picha hiyo na kuiandikia “TBT With My Girlzzz” kisha akawa tag Wolper na Uwoya.
Mbali na picha hii kuleta malumbano ambayo hayakuwa na tija, Swala la urafiki uliokuwepo zamani kati ya wadada hawa na jinsi walivyo hivi sasa ndio lilizua mjadala mrefu miongini mwamashabiki huku wengi wakipenda warembo hawa wawe karibu kama zamani japokuwa ni ukweli kuwa muda unavyokwenda na marafiki huwa wanabadilika.
Wewe mdau umeionaje hii
TUTUPIE COMMENT YAKO HAPA>>>>https://www.facebook.com/Ngessakinollo
Wema aliweka picha hiyo na kuiandikia “TBT With My Girlzzz” kisha akawa tag Wolper na Uwoya.
Mbali na picha hii kuleta malumbano ambayo hayakuwa na tija, Swala la urafiki uliokuwepo zamani kati ya wadada hawa na jinsi walivyo hivi sasa ndio lilizua mjadala mrefu miongini mwamashabiki huku wengi wakipenda warembo hawa wawe karibu kama zamani japokuwa ni ukweli kuwa muda unavyokwenda na marafiki huwa wanabadilika.
Wewe mdau umeionaje hii
TUTUPIE COMMENT YAKO HAPA>>>>https://www.facebook.com/Ngessakinollo

No comments:
Post a Comment