Kaa tayari kabisa kuisikiliza kazi nyingine mpya ya kutoka Nigeria
itakayomuhusisha msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz. Ni msanii Kcee
amethibitisha kuwa amefanya wimbo na Diamond Platnumz na umepewa jina "Love Boat". 16 June 2015 Saa Saba mchana ya Afrika mashariki wimbo utatoka na video ni baada ya wiki mbili .




No comments:
Post a Comment