Tuesday, 2 June 2015

PICHA:- MRISHO NGASSA AKILA BATA HOLIDAY NA MPENZI WAKE NDANI YA SOUTH AFRICA

Mrisho Ngassa amesafiri hadi South Africa na mpenzi wake kwa ajili ya mampumziko. Ngassa anategemea kuweka makazi yake hukohuko pia pale msimu wa 2015/2016 ukianza kwasababu hivi sasa ni mchezaji wa Free State United ya huko huko S.A. Enjoy kuangalia picha  za Ngassa na mpenzi wake Radhia ndani ya South Africa.





No comments: