Wakati Chama tawala
{CCM} kikiwa kimempitisha Dk. John Magufuli kuwa mgombea wake wa urais
katika Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu,
Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema, mgombea huyo hana uwezo kukabiliana nao kwa kuwa hata jimboni kwake wamempita kwa idadi ya viti vya uongozi katika mitaa, vitongoji na udiwani.
Source: NIPASHE
Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema, mgombea huyo hana uwezo kukabiliana nao kwa kuwa hata jimboni kwake wamempita kwa idadi ya viti vya uongozi katika mitaa, vitongoji na udiwani.
Source: NIPASHE
No comments:
Post a Comment