Kikao
cha HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua
wagombea wake 3 ambao ni: 1) John Magufuli 2) Asharose Migoro 3) Amina
Salum Ali. Hatua inayofuata ni majina ya wagombea hawa kuwasilishwa
MKUTANO MKUU WA TAIFA ili kupata jina moja (1) la mgombea Urais 2015.
#KaribuDodoma
UMOJA NI USHINDI!
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemaliza kazi ya kuteua majina matatu. Wanachama hawa ni Ndugu John Magufuli, Asha-Rose Migiro na Amina Ali.
— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) July 11, 2015
#KaribuDodoma
UMOJA NI USHINDI!

No comments:
Post a Comment