Picha ambayo imesambaa kwenye mitandao tofauti inamuonyesha tour
manager wa Diamond Platnumz ‘Salam’ akiwa na Ali Kiba, kwenye picha hii
tunamuona Neyo kwa mbaali na inaonekana ilipigwa wakati Ali Kiba akiwa
Nairobi kwaajili ya Coke studio atakapo fanya wimbo na Neyo.
Kwa jinsi hii tunaona mafanikio makubwa ya kuisha kwa minong'ono ya Beef kati ya wakali hawa wawili nchini Tanzania,ambao wamefikia kujenga kuta kubwa mbili katika Muziki wa Bongo Flava,Muziki ambao umekuwa Ajira binafsi kwa vijana wengi wakitanzania.
Kwa jinsi hii tunaona mafanikio makubwa ya kuisha kwa minong'ono ya Beef kati ya wakali hawa wawili nchini Tanzania,ambao wamefikia kujenga kuta kubwa mbili katika Muziki wa Bongo Flava,Muziki ambao umekuwa Ajira binafsi kwa vijana wengi wakitanzania.


No comments:
Post a Comment