Tuesday, 18 August 2015

NI KWELI MENNINAH AMEFUNGA NDOA?

Msanii Meninah ni miongoni mwa zao lililozaliwa na Bongo Star Search na baada ya hapo zikafuata kazi zake ambazo zilimuweka kwenye nafasi nzuri na watu kumjua Who is Meninah?

Jana amewaacha watu wengi midomo wazi baada ya kupost picha zake dizain kama amefunga ndoa na hii ndiyo post aliyo ipost kupitia Instagram Acc yake...



Meneja wa muimbaji huyo ambaye pia ni kaka yake, "Atick" amethibitisha kuwa ni kweli dada yake ameolewa.
“Yeah ni kweli ameolewa Meninah, mengine siwezi kuongea zaidi ya jibu hilo basi,” amesema Atick.
     
                           Kama ni kweli, tunampongeza Meninah kwa hatua hiyo.

No comments: