Thursday, 20 August 2015

UTEUZI WA SAID NKUMBA WALETA UTATA SKONGE.

ndg. Said Nkumba
Taarifa za uhakika ni kwamba hali ya kisiasa mjini Sikonge si shwari baada ya kuteuliwa kwa ndg. Said Nkumba aliyehamia CHADEMA siku chache zilizopita.

Tukumbuke kuwa Nkumba alijiunga CHADEMA wakati tayari kura za maoni CHADEMA zimeshapigwa na mshindi wa Kwanza hadi wa tatu kupatikana. Bwana Nkumba ameonekana kuteuliwa bila hata kuchukua form haliiliyozua nintofahamu.
Mda mchache katika taarifa ya habari iliyorushwa cloudstv imeonyesha wanachama wa chadema wakiandamana kupinga uteuzi wake.....

No comments: