RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Thursday, 3 September 2015
ASKOFU KILAINI AMVAA DR SLAA KUHUSU MAASKOFU KUHONGWA NA LOWASSA
Askofu
Msaidizi wa jimbo katoliki la Bukoba Askofu Methodius Kilaini
Askofu
Msaidizi wa jimbo katoliki la Bukoba Askofu Methodius Kilaini ameonyesha
kusikitishwa na kauli iliyotolewa hivi karibuni na Aliyekuwa katibu
Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa kuwa baadhi ya maaskofu wa kanisa hilo
wamekuwa wakiohongwa fedha na wanasiasa akiwemo mgombea nafasi ya Urais
Edward Lowassa.
Akiongea na waandishi wa habari leo mjini Bukoba amesema kuwa anaamini kuwa Dr slaa aliteleza kutoa kauli hiyo.
No comments:
Post a Comment