Mgombea
Ubunge wa jimbo la Lushoto mkoani Tanga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo{Chadema}.Bwana Mohamed Mtoi Kanyawana,
amefariki dunia kwa ajali ya gari siku ya jumamosi ya Juzi 12/09/2015 wakati
akitokea kwenye kampeni..
MWENYEZI MUNGU AMPUZISHE KWA AMANI..
POLENI WAFIWA WOTE KWA MSIBA HUU......
TUPO PAMOJA KATIKA MAOMBOLEZO HAYA...
ITIKADI ZA VYAMA TUNAZIWEKA PEMBENI....
![]() |
Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana |
MWENYEZI MUNGU AMPUZISHE KWA AMANI..
POLENI WAFIWA WOTE KWA MSIBA HUU......
TUPO PAMOJA KATIKA MAOMBOLEZO HAYA...
ITIKADI ZA VYAMA TUNAZIWEKA PEMBENI....
No comments:
Post a Comment