Tuesday, 27 October 2015

JOHN MNYIKA{CHADEMA} ATHIBITISHA USHINDI KWAKE KATIKA JIMBO LA KIBAMBA..

John Mnyika
Jimbo la KIBAMBA ni moja kati ya majimbo yaliyorudia UCHAGUZI katika baadhi ya VITUO hii ni kutokana na dosari zilizojitokeza siku ya Tarehe 25th,Oct Siku iliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi kama siku ya Uchaguzi kwa Mwaka huu,
Kutokana na kurudiwa huko kwa Uchaguzi kumesababisha kuchelewa kutolewa Matokeo ya Jimbo hilo,
Kupitia Mtandao wa Tweeter mmoja wa Wagombea jimboni humo,Bw,John Mnyika{CHADEMA}anathibitisha USHINDI kwake, na hii ni baada ya kumalizika Mahesabu ya KURA zote zilizopigwa na sasa TUME YA UCHAGUZI ndiyo inasubiriwa kwa ajili ya kutangaza MATOKEO.....

No comments: