Akipiga stori na Gazeti la Ijumaa, Nisha alisema kuwa watu wamekuwa wakimsengenya kwa kudai kuwa eti yeye kuwa na Barakah ni sawa na ‘kumbemenda’ Dogo huyo lakini mwenyewe ameishia kujitetea kwamba penzi la siku hizi haliangalii umri, kikubwa ni penzi la kweli.
“Unaweza kuwa na mtu mzima mwenzako na msielewane lakini ukawa na ‘serengeti boy’ mkaelewana hivyo mimi sioni tatizo kuwa naye na ninampenda hatari,” alisema Nisha.
NB:-
VIDEO:-Nisha na Baraka Da Prince Wakiwa Kitandani
Chanzo: GPL
No comments:
Post a Comment