![]() |
| Rais J.M.Kikwete{Tanzania} na Rais Uhuru Kenyata{Kenya} |
Rais Uhuru Kenyatta amewaasa watanzania wachague Kiongozi atakayeweza kuendeleza kazi iliyofanywa na Serikali inayomaliza muda wake, kiongozi huyo aweze kuendeleza muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Pia amesema Serikali inayomaliza muda wake imefanya kazi nzuri, imeleta maendeleo hasa ujenzi wa miundombinu.

No comments:
Post a Comment