![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgg1vIvpGYT7LUiFFnDLyhn2mWn0tMahrO7P0ZlCEZCECND5wdeepNb-QlHycEjQ0MtJ0O-bFvQCXdy1o-agrPjahUow7IDkQtucEe-BoJ3VUmPNzXZRjpk8R8X-Y_miVMQKTmGT8tBDoZb/s400/MAGUFULI-TANGA-4.jpg) |
Rais J.P.Magufuli |
Kati ya Ahadi alizoahidi rais wa awamu ya tano,wakati wa kampeni zake kuelekea Ikulu ni kurudisha Tanzania ya viwanda,kwa kuvifufua na kuvifuatilia viwanda vyote vilivyobinafsishwa na serikali ambavyo havionyeshi tija yoyote kiuendelezaji.......
Hii hapa ni Atua ya kwanza kabisa kiutendaji kwa serikali hii ya awamu ya tano,katika safari ya kuitimiza ahadi hiyo kwa wananchi wa Tanzania.......
No comments:
Post a Comment