![]() |
Mh,Job Ndugai. |
Job
Ndugai ameibuka mshindi wa kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kwa kupata kura 254 sawa na asilimia 70 ya kura
zote ambapo jumla ya kura zilizopigwa ni 365
Matokeo ya kura za Spika.
A: Job Ndugai (CCM)- 254
B: Goodluck Ole Medeye (CHADEMA) - 109
C: Hashimu Rungwe (CHAUMA)- 0
D: Peter Sarungi (AFP) -0
E: Dkt Godfrey Malisa (CCK)- 0
F: Richard Lymo (T.L.P) -0
G: Robert Kisinini (DP) -0
Kura zilizoharibika ni 2
Matokeo ya kura za Spika.
A: Job Ndugai (CCM)- 254
B: Goodluck Ole Medeye (CHADEMA) - 109
C: Hashimu Rungwe (CHAUMA)- 0
D: Peter Sarungi (AFP) -0
E: Dkt Godfrey Malisa (CCK)- 0
F: Richard Lymo (T.L.P) -0
G: Robert Kisinini (DP) -0
Kura zilizoharibika ni 2
No comments:
Post a Comment