Mtoto
wa miaka 16 mkazi wa kijiji cha Mbwila wilayani Ludewa mkoani Njombe
Simon Dastani amefariki dunia baada ya kupigwa kwa fimbo na kaka yake
baada ya kukutwa akifanya mapenzi na nguruwe. Kamanda wa Polisi mkoa wa
Njombe Wilbroad Mtafungwa alisema kuwa kijana huyo aliuwawa baada ya
kaka yake kusikia kuwa ameidhalilisha familia yao kwa kufanya mapenzi na
mnyama na kuanza kumchapa kwa fimbo kitu kilicho sababisha kutoka damu
nyingi na kupelekea kifo chake.
No comments:
Post a Comment