Saturday, 28 November 2015

PICHA:-Marehemu Mawazo alivyoagwa na wana-CHADEMA Mwanza leo..

Taarifa iliyotolewa jana na viongozi wa CHADEMA Mwanza ilielekeza utaratibu wa siku tatu mfululizo mpaka mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Geita, Marehemu Alphonce Mawazo.
Leo kuanzia asubuhi taratibu zilianza kwa kuutoa mwili wa Marehemu Hospitali, wakaelekea viwanja vya Furahisha vilivyopo katikati ya Mwanza kwa ajili ya shughuli za kumuaga marehemu ambapo viongozi mbalimbali wa CHADEMA wamewaongoza wanaCHADEMA waliokusanyika katika viwanja hivyo kumuaga marehemu.
Hapa ninazo picha za tukio lote.


Mzee Edward Lowassa akiaga mwili wa Mawazo.
Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe

Mzee Frederick Sumaye

Salum Mwalimu
Mtoto wa marehemu Mawazo.











No comments: