Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwambulambo amesema pamoja na kuwakamata watuhumiwa, uchunguzi bado unaendelea kuwakamata wale wote waliohusika na tukio hili la kinyama.
Amesema kuwa hawatasita kuchukua hatua yoyote kwenye uhalifu huu.
Taarifa zinasema kuwa waliomshambulia walitumia mapanga kumkata na wakamwacha akivuja damu nyingi zilizomsababishia umauti.
No comments:
Post a Comment