Friday, 18 December 2015

Jarida la New African,Latoa majina matano ya wasanii wenye ushawishi mkubwa zaidi Africa 2015.

Jarida la New African toleo ya December 2015 limataja majina matano ya wasanii wenye ushawishi mkubwa zaidi Africa.

1] Mwigizaji kutoka Kenya Lupita Nyong’o.
 2] Mtangazaji wa The Daily Show kutoka Africa kusini  Trevor Noah.

3] Diamond Platnumz ,mwimbaji wa muziki kutoka Tanzania.
 4] Yemi Alade msanii kutoka Nigeria.
 5] Koffi Olomide  msanii wa muziki kutoka DRC Congo.

No comments: