Mmoja kati ya madada wanaouza sura katika video mbali mbali za kibongo
ajulikanae kama Gigy Money amelalamika kuwa Jokate Mwegelo amemwibiwa
bwana ake ambae ni hit Maker wa Nyimbo ya Nagharamia ajilikane kama Ali
Kiba.
Akizungumza na mwandishi wa Global Publisher Gigy Money amesema “Watu hawajui ila Kiba alikuwa wangu, Jokate kanipora“.
Akizungumza na mwandishi wa Global Publisher Gigy Money amesema “Watu hawajui ila Kiba alikuwa wangu, Jokate kanipora“.
No comments:
Post a Comment