Rapa Prezzo amekuwa akiandamwa na maneno kuwa ni miongoni kati ya mastar wanaougua Ugonjwa hatari wa UKIMWI.
Msululu mrefu wa warembo aliohondomola nao, umewafanya wananchi kuwa na shaka juu ya afya yake.
Sasa star huyo kupitia ukurasa wake wa Instagram, ameamua kutundika karatasi ya majibu ya vipimo vya ‘miwaya’ inayoonesha yupo safi kabisa na damu yake haijaathirika
No comments:
Post a Comment