Mawasiliano hayo hapo juu yanatajwa na chanzo chetu kuchukuliwa katika
simu ya Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano ya Umma wa CUF,
Mheshimiwa Hamad Masoud Hamad, mara tu baada ya kukamatwa na Polisi
akiwa nyumbani kwake Mbweni mapema jana asubuhi. Chama cha CUF bado
hakijapokea taarifa zozote kuhusiana na alipo kiongozi huyu.
IKAENDELEA HIVI.......
IKAENDELEA HIVI.......
No comments:
Post a Comment