Tamthilia ya Empire iliyojikusanyia mashabiki wengi duniani, Jumatano iliyopita ilirejea tena katika msimu wake wa tatu. Koku Gonza Katika msimu huo, muimbaji wa Tanzania aishiye Marekani, Koku Gonza ameshiriki. Koku anaonekana kwenye scene moja akimfundisha Hakeem kucheza piano.
Koku Gonza na Hakeem Mfahamu zaidi kwa historia yake hapo chini. Koku Gonza, the daughter of a Tanzanian folk singer, has shared the stage with an eclectic range of her influences. She has opened for Saul Williams, Roy Ayers, Anthony David, Yahzarah, Eric Roberson to name a few. As an Indie artist, Koku Gonza composed,arranged and performed all vocals, as well as played the guitar on all of her albums. Her song, L.O.V.E. serves as the lead single from her studio album Radiozophrenic released in 2011. L.O.V.E. debuted on BET International, Channel O, and other media outlets that feature breakout artists. In July 2012, Koku Gonza completed her first music tour in France. She performed in 11 cities in Southern France, and received rave reviews from various French media outlets like Soul Bag Magazine and +D’Afrique.
CHANZO na Bongo5


No comments:
Post a Comment