![]() |
| Pam D |
MKALI wa Miondoko ya Hip Hop, Ibrahim Musa ‘R.O.M.A’ amefunguka atampa darasa la Hip Hop, staa wa Bongo Fleva, Pam D ili aweze kuchana mistari kama afanyavyo yeye.
Akipiga stori na safu hii, R.O.M.A alisema mdada huyo amekuwa akitaka awe mchanaji mzuri hivyo ameamua kumfundisha ili wawe wanakamua pamoja kwenye shoo mbalimbali kwani anahisi ana damu ya Hip Hop.
![]() |
| Ibrahim Musa ‘R.O.M.A’ |


No comments:
Post a Comment