Tuesday, 20 May 2014

PICHA_ZOEZI ZIMA LA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU ADAM PHILIP KUAMBIANA NDANI YA VIWANJA VYA LEADER'S CLUB KINONDONI MCHANA HUU.

Msanii na Muongozaji wa filamu na maigizo nchini{TZ} kutoka kwenye kambi ya Bongo Muvi, aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Adam Kuambiana anatarajia kuzikwa leo Mei 20, 2014 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam alipozikwa msanii mwenzake, Steven Kanumba.hizi ni baadhi ya Picha za yaliyojiri kwenye zoezi la kuuaga mwili wa marehemu,mchana wa leo,kwenye viwanja vya Leader's Club Kinondoni jijini Dar es salaam.


























No comments: