Kupitia Acc yake ya Instagram Diamond ameandika:
"Asante sana @fastjetofficial
kwa kunisafirisha mimi, Familia yangu na team yangu nzima kuelekea
kwenye Tuzo za MTV Awards Nchini South Africa.. hakika nyinyi ni Mfano
Bora.. Kama Hauna Taarifa bado, Kampuni ya Fast jest sasa imeanzisha
huduma mpya ya kutoka Tanzania hadi South Africa... kwa maelezo zaidi
follow Account yao Hii @fastjetofficial @fastjetofficial"
Diamond ameelekea nchini South Africa tayari kwa hitimisho la Tuzo za MTV,katika safari yake hiyo.Diamond ameambatana na mchumba wake WEMA SEPETU,AUNT EZEKIEL pamoja timu nzima ya WASAFI,
Diamond ameelekea nchini South Africa tayari kwa hitimisho la Tuzo za MTV,katika safari yake hiyo.Diamond ameambatana na mchumba wake WEMA SEPETU,AUNT EZEKIEL pamoja timu nzima ya WASAFI,
![]() |
pichani Aunt Ezekiel,Wema & Diamond Platnumz. |
No comments:
Post a Comment