Thursday, 5 June 2014

Mh,RAIS J.M.KIKWETE AMPONGEZA DIAMOND KWA KUCHAGULIWA/KUIWAKILISHA(TZ) KWENYE TUZO ZA BET.

Hivi Majuzi wakati Tour ya Diamond alipokuwa New York, Promoter wake pamoja na Yeye mwenyewe walikaribishwa na Mheshimiwa Rais ambapo mbali na mambo mengine Mheshimiwa alimpongeza Diamond katika mafanikio yake ikiwa ni pamoja na Kuchaguliwa kuwania tuzo za BET  nchini Marekani.Rais hakuwahi kupata nafasi ya kumpongeza kijana huyo kwani wakati matangazo yalipotoka Diamond alikuwa nje ya nchi.Mheshimiwa pia alimkutanisha Diamond na aliyekuwa Raisi wa Def Jam Record/Warner Bros Music group Mr Kevin Liles ambaye alionyesha nia ya kufanya mambo makubwa na Diamond.
Kevin ni Multi Millionare mwenye utajiri wa zaidi ya Dollar Milioni 60 ambaye kwa sasa ni manager wa wanamuziki Trey Song,Big Sean,Ty Dolla Sign,Kuna uwezekano mwanamuziki Diamond akawajoin Hao hivi karibuni..waingereza wanasema(hard work pays)Congratulation to Diamond for hard work and Thank you Mr President for Supporting your Youths.

No comments: