![]() |
| ADAM MCHOMVU,B12 & Dj FETTY. |
Sakata hilo lilisababisha mambo mengi kuzungumziwa huku wengine wakijaribu kuliongelea kama ni jinsi ya kutafuta Tension{KEEK} kwa wasikilizaji,wakidai kuwa watu wengi Kwa sasa wamekuwa wakiacha kusikiliza kipindi hicho na kuhisi kupoteza UBORA uliokuwepo awali.
![]() |
| TASWIRA BAADA YA TIMBWILI NDANI YA STUDIO ZA CLOUDS FM JANA. |
Sasa
leo watu mbalimbali na wasikilizaji walikuwa wanataka kujua nini zaidi
kilitokea kupitia kipindi cha Hekaheka, chanzo cha ugomvi hasa ni nn?
Baada
ya massage nyingi sana kwenye kipindi cha hekaheka ilibidi wahusika
wanyanyue simu zao kuwatafuta Adam, Fetty na B12 kujua nini
kilichosababisha kuchapana makonde wakati bado kipindi kikiwa hewani.
Muhusika alinyanyua moja kwamoja simu na kumpigia B12 ambaye alikataa
kabisa kueleza chanzo cha sakata hilo la kutwangana huku akisema mambo
yote yapo kwa uongozi.....


No comments:
Post a Comment