![]() |
| Shilole"Shishi Baby" & Nuh Mziwanda"Chachalundoa" |
Kuhusu hilo Nuh alifunguka kama ifuatavyo:
“Mimi ninampenda Shilole kwa asilimia 100, ila siko tayari kubadili dini kwa ajili yake maana kwetu ni wakristo na hapa naongea mama yangu ni mzee wa kanisa hivyo Shilole naamini anaweza kubadili maana mimi tayari nimeshafanya mengi sana juu yake.”
INAENDELEA
Shilole naye akadai: Mimi siwezi kubadili dini maana Nuh ndiye alisema atabadili hata hivyo familia yangu haiwezi kunikubalia kubadili dini kwa ajili ya kufunga ndoa kama amesema naye hawezi kubadili basi tutaishi tu maana hata ndoa ya serikali yenyewe hawezi na maisha siyo lazima tuoane.”

No comments:
Post a Comment